Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 81:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wamchukiao BWANA wangenyenyekea mbele zake, Na maangamizi yao yangedumu milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanichukiao wangenipigia magoti kwa hofu, na adhabu yao ingekuwa ya milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanichukiao wangenipigia magoti kwa hofu, na adhabu yao ingekuwa ya milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanichukiao wangenipigia magoti kwa hofu, na adhabu yao ingekuwa ya milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale wanaomchukia Mwenyezi Mungu wangejikunyata mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale wanaomchukia bwana wangalinyenyekea mbele zake, na adhabu yao ingedumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wamchukiao BWANA wangenyenyekea mbele zake, Na maangamizi yao yangedumu milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 81:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa watumishi wako watakaa, Na wazawa wao wataimarishwa mbele zako.


Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai; Midomo yangu itakusifu.


Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,


Hawatajenga, kisha akakaa mtu mwingine ndani yake; hawatapanda, kisha akala mtu mwingine; maana kama siku za mti ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu, na wateule wangu wataifurahia kazi ya mikono yao muda wa siku nyingi.


Bali Yuda atadumu milele, na Yerusalemu tangu kizazi hata kizazi.


Mkizifuata amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyafanya;


Nanyi mtawafukuza adui zenu, nao wataanguka mbele zenu kwa upanga.


wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,


Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.


naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.