Zaburi 81:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu! Biblia Habari Njema - BHND Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu! Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu! Neno: Bibilia Takatifu “Laiti watu wangu wangenisikiliza, laiti Israeli wangefuata njia zangu, Neno: Maandiko Matakatifu “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu, BIBLIA KISWAHILI Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu; |
Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;
Lakini hawakusikiliza, wala kutega sikio lao, bali walikwenda kwa mashauri yao wenyewe, na kwa ushupavu wa mioyo yao mibaya, wakaenda nyuma wala si mbele.
Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!
Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!