Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 81:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Laiti watu wangu wangenisikiliza! Laiti Israeli angefuata njia yangu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Laiti watu wangu wangenisikiliza, laiti Israeli wangefuata njia zangu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza, kama Israeli wangalifuata njia zangu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Laiti watu wangu wangenisikiliza, Na Israeli angeenenda katika njia zangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 81:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo watakula matunda ya njia yao, Watashiba mashauri yao wenyewe.


Laiti ungalisikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingalikuwa kama mto wa maji, na haki yako kama mawimbi ya bahari;


Lakini hawakusikiliza, wala kutega sikio lao, bali walikwenda kwa mashauri yao wenyewe, na kwa ushupavu wa mioyo yao mibaya, wakaenda nyuma wala si mbele.


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!


Laiti wangekuwa na akili, hata wakafahamu haya, Ili watafakari mwisho wao.


Laiti wangekuwa na moyo kama huu ndani yao sikuzote, wa kunicha, na kushika amri zangu zote sikuzote, wapate kufanikiwa wao na watoto wao milele!