Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu wa majeshi, uturekebishe, utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu wa majeshi, uturekebishe, utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu wa majeshi, uturekebishe, utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu wa majeshi ya mbinguni, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, walitucheka, wakatudharau, wakasema, Ni nini neno hili mnalofanya? Je! Ninyi mtaasi juu ya mfalme?


Ee Mungu, uniumbie moyo safi, Uifanye upya na kuithibiti roho yangu.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Ee Mungu, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Kwa maana Bwana MUNGU, Mtakatifu wa Israeli, asema hivi, Kwa kurudi na kustarehe mtaokolewa; nguvu zenu zitakuwa katika kutulia na kutumaini; lakini hamkukubali.


Wewe wamlaki yeye afurahiaye yaliyo haki na kuyatenda, watu wale wakukumbukao katika njia zako; tazama, ulikuwa na hasira, nasi tulitenda dhambi; tumekuwa katika dhambi kwa muda mrefu, nasi Je! Tutaokolewa?


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa.


Na wengi katika Waisraeli atawarejesha kwa Bwana Mungu wao.