Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Unatufanya sababu ya ugomvi kwa jirani zetu, Na adui zetu wanacheka wao kwa wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umetufanya tuwe dharau kwa jirani zetu; maadui zetu wanatudhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umetufanya tuwe dharau kwa jirani zetu; maadui zetu wanatudhihaki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umetufanya tuwe dharau kwa jirani zetu; maadui zetu wanatudhihaki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa majirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Unatufanya sababu ya ugomvi kwa jirani zetu, Na adui zetu wanacheka wao kwa wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Tumekuwa lawama kwa jirani zetu, Mzaha na dhihaka kwao wanaotuzunguka.


Basi sasa, tafadhali mpe bwana wangu, mfalme wa Ashuru, dhamana, nami nitakupa farasi elfu mbili, ikiwa wewe kwa upande wako waweza kupandisha watu juu yao.


Ni nani uliyemshutumu na kumtukana? Umeinua sauti yako juu ya nani, na kuinua macho yako juu? Juu ya Mtakatifu wa Israeli.


Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.


Alionekana kati ya wezi? Maana kila umtajapo watikisa kichwa chako.


kwa sababu hiyo, enyi milima ya Israeli, lisikieni neno la Bwana MUNGU; Bwana MUNGU aiambia hivi hiyo milima na vilima, mito ya maji na mabonde, mahali palipoharibika na kuwa ukiwa, na miji iliyoachwa na watu, ambayo imekuwa mateka, na kuzomewa na mabaki ya mataifa, walio karibu pande zote;


Nao wakaao juu ya nchi wafurahi juu yao na kushangilia. Nao watapelekeana zawadi wao kwa wao, kwa kuwa manabii hao wawili waliwatesa wao wakaao juu ya nchi.


Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili.