Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uturekebishe, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uturekebishe, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uturekebishe, ee Mungu; utuangalie kwa wema, nasi tutaokoka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Unisikie, Ee BWANA, unisikie, ili watu hawa wajue ya kuwa wewe, BWANA, ndiwe Mungu, na ya kuwa wewe umewageuza moyo wakurudie.


Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako.


Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.


Ee Mungu, umetutupa na kututawanya, Umekuwa na hasira, uturudishe tena.


Mungu na atufadhili na kutubariki, Na kutuangazia uso wake.


Wewe uchungaye Israeli, usikie, Wewe umwongozaye Yusufu kama kundi; Wewe uketiye juu ya makerubi, utoe nuru.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Mungu wa wokovu wetu, uturudishe, Uikomeshe hasira uliyo nayo juu yetu.


Ee BWANA, utugeuze kwako, nasi tutageuka; Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale.