Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mkono wako na uwe juu yake Mtu aliye katika mkono wako wa kulia; Juu ya mwanadamu uliyeimarisha Kwa nafsi yako;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkono wako umkinge huyo uliyemfadhili; huyo uliyemteua kwa ajili yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkono wako umkinge huyo uliyemfadhili; huyo uliyemteua kwa ajili yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkono wako umkinge huyo uliyemfadhili; huyo uliyemteua kwa ajili yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkono wako na utulie juu ya mtu aliye katika mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkono wako na uwe juu yake Mtu aliye katika mkono wako wa kulia; Juu ya mwanadamu uliyemfanya kuwa imara, Kwa nafsi yako;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Na mche ule ulioupanda Kwa mkono wako wa kulia; Na tawi lile ulilolifanya Kuwa imara kwa nafsi yako.


Ambaye mkono wangu utakuwa thabiti kwake, Na mkono wangu utamtia nguvu.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


BWANA alikuita jina lako, Mzeituni wenye majani mabichi, mzuri, wenye matunda mema; kwa kelele za mshindo mkuu amewasha moto juu yake, na matawi yake yamevunjika.


uiambie nchi ya Israeli, BWANA asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, nami nitautoa upanga wangu alani, nami nitamkatilia mbali nawe mtu mwenye haki na mtu mbaya.