Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Matawi yake yalienea mpaka baharini; machipukizi yake mpaka kando ya mto Eufrate.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Matawi yake yalienea hadi Baharini, machipukizi yake hadi kwenye Mto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao uliyaeneza matawi yake hadi baharini, Na vichipukizi vyake hadi kunako Mto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,


Sulemani akatawala juu ya falme zote, toka Mto mpaka nchi ya Wafilisti, na hata mpaka wa Misri; walimletea tunu, na kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake.


Kwani alikuwa akitawala nchi yote upande huu wa Mto, toka Tifsa mpaka Gaza, juu ya wafalme wote wa upande huu wa Mto; naye alikuwa na amani pande zake zote.


Tena Daudi akampiga Hadadezeri, mfalme wa Soba, mpaka Hamathi, alipokwenda kujisimamishia mnara wa ukumbusho kwenye mto wa Frati.


Na awe na enzi toka bahari hadi bahari, Toka Mto hadi miisho ya dunia.


Nami nitakuwekea mpaka wako tangu Bahari ya Shamu hadi bahari ya Wafilisti, tena tangu jangwani hata huo Mto; kwa kuwa nitawatia wenyeji wa nchi mkononi mwako; nawe utawafukuza mbele yako.