Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 80:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, Matawi yake ni kama mierezi ya Mungu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uliifunika milima kwa kivuli chake, na matawi yake yakawa kama mierezi mikubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uliifunika milima kwa kivuli chake, na matawi yake yakawa kama mierezi mikubwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uliifunika milima kwa kivuli chake, na matawi yake yakawa kama mierezi mikubwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, Matawi yake ni kama mierezi ya Mungu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 80:10
2 Marejeleo ya Msalaba  

Miti ya BWANA nayo imetoshelezwa maji, Mierezi ya Lebanoni aliyoipanda.


Nikatuma nyigu mbele yenu, waliowafukuza mbele yenu hao wafalme wawili wa Waamori, si kwa upanga wako, wala kwa upinde wako.