Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 8:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ndege, samaki, na viumbe vyote vya baharini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ndege, samaki, na viumbe vyote vya baharini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ndege, samaki, na viumbe vyote vya baharini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kinachoogelea katika njia za bahari.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndege wa angani, na samaki wa baharini; Na kila kipitacho njia za baharini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 8:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Utamwindia simba mke mawindo? Au utashibisha njaa ya simba wachanga,


Mwangalie huyo kiboko, niliyemwumba pamoja nawe; Yeye hula nyasi kama ng'ombe,


Hayawani, na wanyama wafugwao, Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa.