Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 8:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa porini;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kondoo, ng'ombe, na wanyama wa porini;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kondoo, na ng'ombe wote pia; Naam, na wanyama wa porini;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 8:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila kiumbe kitambaacho nchini.


Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuimiliki; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.