Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 8:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umemfanya awe karibu kama Mungu, umemvika fahari na heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umemfanya awe karibu kama Mungu, umemvika fahari na heshima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umemfanya awe karibu kama Mungu, umemvika fahari na heshima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji la utukufu na heshima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umemfanya mdogo kuliko Mungu; Umemvika taji la utukufu na heshima;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 8:5
18 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


Ndipo Absalomu akatuma Yoabu aitwe, amtume kwa mfalme, lakini yeye akakataa kumjia; akatuma tena mara ya pili, lakini akakataa kuja.


Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza, Na kumtia moyoni mwako,


Mhimidini BWANA, enyi malaika zake, Ninyi mlio hodari, mtendao neno lake, Mkiisikiliza sauti ya neno lake.


Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi, Akutia taji la fadhili na rehema,


Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?


Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele, Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.


juu sana kuliko ufalme wote, na mamlaka, na nguvu, na utawala, na kila jina litajwalo, wala si ulimwenguni humu tu, bali katika ule ujao pia;


Maana ni hakika, hatwai asili ya malaika, ila atwaa asili ya mzao wa Abrahamu.


Umemfanya mdogo kwa muda kuliko malaika, Umemvika taji la utukufu na heshima, Umemtawaza juu ya kazi za mikono yako;


ila twamwona yeye aliyefanywa mdogo kwa muda kuliko malaika, yaani, Yesu, kwa sababu ya maumivu ya mauti, amevikwa taji la utukufu na heshima, ili kwa neema ya Mungu aionje mauti kwa ajili ya kila mtu.