Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mtu ni nini, ee Mungu, hata umfikirie, binadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mtu ni nini, ee Mungu, hata umfikirie, binadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mtu ni nini, ee Mungu, hata umfikirie, binadamu ni nini hata umjali?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 8:4
25 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.


Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili ya kuonesha majira, siku na miaka;


Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.


BWANA akamjia Sara kama alivyonena, na BWANA akamfanyia kama alivyosema.


Lakini Mungu je! Yamkini atakaa na watu duniani? Tazama, mbingu na mbingu za mbingu za mbingu hazikutoshi; seuze nyumba hii niliyoijenga!


Seuze mtu, aliye mdudu! Na mwanadamu, ambaye ni buu!


Je! Mtu ni kitu gani, hata ukamtukuza, Na kumtia moyoni mwako,


Ee BWANA, unikumbuke mimi, Kwa kibali ulicho nacho kwa watu wako. Unijie kwa wokovu wako,


Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mwezi na nyota zitawale usiku; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Ee BWANA, mtu ni kitu gani hata umjali? Na binadamu hata umwangalie?


Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.


Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.


Enyi wanadamu, hadi lini utukufu wangu utafedheheka? Je! Mtapenda ubatili na kutafuta uongo hadi lini?


Mkono wako na uwe juu yake Mtu aliye katika mkono wako wa kulia; Juu ya mwanadamu uliyeimarisha Kwa nafsi yako;


Maana miungu yote ya watu si kitu, Lakini BWANA ndiye aliyezifanya mbingu.


Watu wakaamini, na waliposikia ya kuwa BWANA amewajia wana wa Israeli, na ya kuwa ameyaona mateso yao, wakainamisha vichwa vyao wakasujudu.


Mataifa yote huwa kama si kitu mbele zake; huhesabiwa kwake kuwa duni kabisa na batili.


Mimi, naam, mimi, ndimi niwafarijiye; wewe u nani hata ukamwogopa mtu atakayekufa, na mwanadamu atakayefanywa kuwa kama majani?


Akaniambia, Mwanadamu umeyaona haya? Utaona tena machukizo makubwa kuliko hayo.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Kwa kuwa amewajia watu wake, na kuwakomboa.


watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiwa kwako.


Muwe na mwenendo mzuri kati ya Mataifa, ili, iwapo huwasingizia kuwa watenda mabaya, wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu siku ya kujiliwa.