Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 79:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana wamemla Yakobo, Na makao yake wameyaharibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana wamemmeza Yakobo, taifa lako, wameteketeza kabisa makao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana wamemmeza Yakobo, taifa lako, wameteketeza kabisa makao yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana wamemmeza Yakobo, taifa lako, wameteketeza kabisa makao yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana wamemrarua Yakobo na kuharibu nchi ya makao yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana wamemrarua Yakobo na kuharibu nchi ya makao yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana wamemla Yakobo, Na makao yake wameyaharibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 79:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

ili kulitimiza neno la BWANA kwa kinywa cha Yeremia, hata nchi itakapofurahia sabato zake; kwa maana siku zote ilipokaa ukiwa ilishika sabato, kutimiza miaka sabini.


Nguruwe wa msituni wanauharibu, Na hayawani wa kondeni wanautafuna.


Ee BWANA, usione hasira nyingi, wala usiukumbuke uovu siku zote; tazama, angalia, twakusihi, sisi sote tu watu wako.


Waashuri upande wa mbele, na Wafilisti upande wa nyuma, nao watamla Israeli kwa kinywa kilicho wazi. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.


Watu wote waliowaona wamewala; na adui zao walisema, Sisi hatuna hatia, kwa kuwa hao wametenda dhambi juu ya BWANA, aliye kao la haki, yaani, BWANA, tumaini la baba zao.


Nami ninayakasirikia sana mataifa yanayostarehe; kwa maana mimi nilikuwa nimekasirika kidogo tu, nao wakayazidisha maafa.