Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 79:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na sisi tulio watu wako, Na kondoo za malisho yako, Tutakushukuru milele; Tutazisimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nasi watu wako, tulio kondoo wa kundi lako, tutakushukuru milele, na kukusifu nyakati zote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako, tutakusifu milele; tutasimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako, tutakusifu milele; toka kizazi hadi kizazi tutasimulia sifa zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na sisi tulio watu wako, Na kondoo za malisho yako, Tutakushukuru milele; Tutazisimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 79:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake; Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.


Kizazi kwa kizazi kitayasifu matendo yako, Kitayatangaza matendo yako makuu.


Tumejisifia Mungu mchana kutwa, Na jina lako tutalishukuru milele.


Jina lako nitalifanya kuwa kumbukumbu Katika vizazi vyote. Kwa hiyo mataifa watakushukuru Milele na milele.


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako.


Ee Mungu, usimame, ujitetee mwenyewe, Ukumbuke unavyotukanwa na mpumbavu mchana kutwa.


Kwa maana ndiye Mungu wetu, Na sisi tu watu wa malisho yake, Na kondoo za mkono wake. Ingekuwa heri leo msikie sauti yake!


watu wale niliojiumbia nafsi yangu, ili wazitangaze sifa zangu.