Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 79:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mataifa hayo yaliyokudharau, ee Bwana, yalipizwe mara saba!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mataifa hayo yaliyokudharau, ee Bwana, yalipizwe mara saba!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mataifa hayo yaliyokudharau, ee Bwana, yalipizwe mara saba!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipize majirani zetu mara saba aibu walizovurumisha kwako, Ee Bwana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao aibu walizovurumisha juu yako, Ee bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 79:12
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo yeyote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.


Kwa sauti ya mwenye kulaumu na kukufuru, Kwa sababu ya adui na mjilipiza kisasi.


Ee Mungu, mtesi atalaumu hata lini? Adui alidharau jina lako hata milele?


Na ahimidiwe BWANA milele. Amina na Amina.


Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.


wewe uwarehemuye watu elfu nyingi, uwalipaye baba za watu uovu wao vifuani mwa watoto wao baada yao; Mungu aliye mkuu, aliye hodari, BWANA wa majeshi ndilo jina lake;


Nawe utajua ya kuwa mimi, BWANA, nimeyasikia matusi yako yote, uliyoyanena juu ya milima ya Israeli, ukisema, Wamefanyika ukiwa, wametiwa katika mikono yetu tuwale.


basi Bwana MUNGU asema hivi; Nimeinua mkono wangu, kusema, Hakika, mataifa walio karibu nanyi pande zote, nao watatukanwa.


Nanyi ikiwa mnaenda kinyume changu, wala hamtaki kunisikiza; nitaleta mapigo mara saba zaidi juu yenu, kama dhambi zenu zilivyo.


ndipo nami nitawaendea kinyume katika ghadhabu yangu; nami nitawaadhibu mara saba kwa dhambi zenu.


Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile kile mpimacho ndicho mtakachopimiwa.