Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wa Efraimu, pinde na mishale mkononi, walirudi nyuma, wakakimbia siku ile ya vita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde, walikimbia siku ya vita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Walikuwa wenye kupinda upinde, nao walikuwa hodari wa kutumia mkono wa kulia na wa kushoto, kwa kutupa mawe ya teo, na kwa kupiga mishale ya upinde; walikuwa wa nduguze Sauli, wa Benyamini.


Bali walirudi nyuma, wakahaini kama baba zao; Wakayumba kama upinde usiofaa.


Akamwambia, Bwana, niwapo pamoja nawe, mimi ni tayari kwenda gerezani au hata kifoni.


Nao watu wa Israeli walipogeuka katika ile vita, Benyamini naye akaanza kupiga na kuwaua watu wa Israeli kama watu thelathini; kwani walisema, Hakika yetu wamepigwa mbele yetu, vile vile kama katika ile vita ya kwanza.


Naye Gaali mwana wa Ebedi akasema, Abimeleki ni nani, na sisi wa Shekemu ni nani, hata tukamtumikie yeye? Je, huyu mwana wa Yerubaali na Zebuli afisa wake hawakuwatumikia watu wa Hamori babaye Shekemu? Basi, kwa nini tumutumikie?


Basi Wafilisti wakapigana na Israeli; nao watu wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, wakauawa katika mlima wa Gilboa.


Wafilisti wakapigana nao, Israeli wakapigwa, wakakimbia kila mtu hemani kwake; wakauawa watu wengi sana; maana katika Israeli walianguka watu elfu thelathini walioenda vitani kwa miguu.