Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:70 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamchagua Daudi, mtumishi wake, Akamwondoa katika mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alimchagua Daudi, mtumishi wake, akamtoa katika kazi ya kuchunga kondoo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamchagua Daudi, mtumishi wake, Akamwondoa katika mazizi ya kondoo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:70
13 Marejeleo ya Msalaba  

basi, sasa, fanyeni hayo; kwa maana BWANA amemtaja Daudi, akisema, kwa mkono wa mtumishi wangu, Daudi, nitawaokoa watu wangu Israeli katika mikono ya Wafilisti, na katika mikono ya adui zao wote.


Daudi akamwambia Mikali, Ilikuwa mbele za BWANA, aliyenichagua mimi juu ya baba yako, na juu ya nyumba yake, ili kuniweka niwe mkuu juu ya watu wa BWANA, juu ya Israeli; kwa hiyo mimi nitacheza mbele za BWANA.


Basi, sasa, mwambie mtumishi wangu, Daudi, maneno haya, BWANA wa majeshi asema hivi, Nilikutwaa katika zizi la kondoo, katika kuwaandama kondoo, ili uwe mkuu juu ya watu wangu, juu ya Israeli;


Tokea siku ile nilipowatoa watu wangu Israeli katika Misri, sikuchagua mji wowote katika kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba, jina langu liwe hapo; lakini nilimchagua Daudi awe juu ya watu wangu Israeli.


Basi huyo Musa alikuwa akilichunga kundi la Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani; akaliongoza kundi nyuma ya jangwa, akafika mpaka mlima wa Mungu, hata Horebu.


Haya, basi, nitakutuma sasa kwa Farao, ili upate kuwatoa watu wangu, hao wana wa Israeli, katika Misri.


Na alipokwisha kumwondoa huyo, akamwinua Daudi awe mfalme wao ambaye alimshuhudia, akisema, Nimemwona Daudi, mwana wa Yese, mtu anayeupendeza moyo wangu, atakayefanya mapenzi yangu yote.