Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:66 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akawatimua maadui zake; akawatia aibu ya kudumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliwapiga na kuwashinda adui zake, akawatia katika aibu ya milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:66
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mtazame kila mtu mwenye kiburi ukamshushe, Ukawakanyage waovu hapo wasimamapo.


nami nitaleta juu yenu aibu ya milele, na fedheha ya daima, ambayo haitasahauliwa.


Lakini mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi, akawaangamiza, akawapiga kwa majipu, huko Ashdodi na mipakani mwake.


Ndipo wakauliza, Na hayo matoleo ya kosa tutakayompelekea, yatakuwa ya namna gani? Na yawe majipu ya dhahabu matano, na panya wa dhahabu watano, sawasawa na idadi ya wakuu wa Wafilisti; kwa kuwa tauni moja ilikuwa juu yenu nyote, na juu ya wakuu wenu.


Hata Samweli alipokuwa akiitoa hiyo sadaka ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Israeli; lakini BWANA akapiga ngurumo, mshindo mkubwa sana, juu ya Wafilisti siku ile, akawafadhaisha; nao wakaangamizwa mbele ya Israeli.