Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:65 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha Bwana aliamka kama kutoka usingizini, kama shujaa aliyechangamshwa na divai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Bwana alipoamka kama kuamka usingizini, kama shujaa anavyoamka kutoka bumbuazi la mvinyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini, kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Bwana alipoamka kama aliyelala usingizi, Kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:65
7 Marejeleo ya Msalaba  

Amka, Bwana, mbona umelala? Ondoka, usitutupe milele.


BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.


Ee Bwana, wamekuwa kama ndoto wakati wa kuamka, Uondokapo utaidharau sanamu yao.


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.


BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake, Atakufurahia kwa kuimba.


Usimrudishe kwa bwana wake mtumwa aliyejiponya kutoka kwa bwana wake kuja kwako;