Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:62 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawatoa watu wake wapigwe kwa upanga; Akaughadhibikia urithi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwakasirikia watu wake mwenyewe; akawatoa waangamizwe kwa upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwakasirikia watu wake mwenyewe; akawatoa waangamizwe kwa upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwakasirikia watu wake mwenyewe; akawatoa waangamizwe kwa upanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliachia watu wake wauawe kwa upanga, akaukasirikia sana urithi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliachia watu wake wauawe kwa upanga, akaukasirikia sana urithi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawatoa watu wake wapigwe kwa upanga; Akaughadhibikia urithi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:62
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wewe umemtupa na kumkataa, Umemghadhibikia masihi wako.


Ee BWANA, usione hasira nyingi, wala usiukumbuke uovu siku zote; tazama, angalia, twakusihi, sisi sote tu watu wako.


Wamepanda ngano, lakini watavuna miiba; wamejiumiza nafsi zao, lakini hawatakuwa na faida; naam, tahayarini kwa ajili ya matunda yenu, kwa sababu ya hasira kali ya BWANA.


Nimeiacha nyumba yangu, nimeutupa urithi wangu; nimemtia mpenzi wangu katika mikono ya adui zake.


Nao Wafilisti wakajipanga juu ya Israeli; na walipopigana, Waisraeli wakapigwa na Wafilisti; waliowaua karibu elfu nne katika uwanja wa vita.