Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:54 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawapeleka hadi mpaka wake mtakatifu, Mlima alioununua kwa mkono wake wa kulia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwaleta katika nchi yake takatifu, katika mlima aliouteka kwa nguvu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwaleta katika nchi yake takatifu, katika mlima aliouteka kwa nguvu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwaleta katika nchi yake takatifu, katika mlima aliouteka kwa nguvu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu, hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu, hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawapeleka hadi mpaka wake mtakatifu, Mlima alioununua kwa mkono wake wa kulia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:54
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao, Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao; Bali mkono wako wa kulia, naam, mkono wako, Na nuru ya uso wako, kwa kuwa ulipendezwa nao.


Enyi milima mirefu, kwani kuutazama kwa wivu Mlima alioutamani Mungu akae juu yake? Naam, BWANA atakaa juu yake milele.


Wewe kwa rehema zako umewaongoza watu uliowakomboa, Kwa uweza wako uliwaelekeza hata makao yako matakatifu.


Utawaingiza, na kuwapanda katika mlima wa urithi wako, Mahali pale ulipojifanyia, Ee BWANA, ili upakae, Pale patakatifu ulipopaweka imara, BWANA, kwa mikono yako.


Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua BWANA, kama vile maji yanavyoifunika bahari.


nao wakaingia, wakaimiliki; lakini hawakuitii sauti yako, wala hawakuenda katika sheria yako; hawakutenda neno lolote katika haya uliyowaagiza wayatende; basi, kwa sababu hii umeleta juu yao mabaya haya yote;


Naye ataweka hema zake za kifalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa uzuri; lakini ataifikia ajali yake, wala hakuna atakayemsaidia.


Ndiye aliye arabuni ya urithi wetu, ili kuleta ukombozi wa milki yake, kuwa sifa ya utukufu wake.