Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:53 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hao akawachukua salama wala hawakuogopa, Bali bahari iliwafunika adui zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwaogoza salama, wala hawakuogopa; lakini bahari iliwafunika maadui zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa, bali bahari iliwameza adui zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao akawachukua salama wala hawakuogopa, Bali bahari iliwafunika adui zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:53
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maji yakawafunika watesi wao, Hakusalia hata mmoja wao.


Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.


BWANA akamwambia Musa, Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele.


Ulivuma kwa upepo wako, bahari ikawafunikiza; Wakazama kama risasi ndani ya maji makuu.


Basi Musa akasikiza neno la mkwewe, akayafanya yote aliyokuwa amemwambia.


Kwa imani wakapita kati ya Bahari ya Shamu, kama katika nchi kavu; Wamisri walipojaribu kufanya vivyo wakatoswa.