Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, Na mikuyu yao kwa mawe ya barafu.
Aliiharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe, na mitini yao kwa baridi kali.
Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.
Hutupa mvua ya mawe kama makombo, Mbele ya baridi yake ni nani awezaye kusimama?