Akawapa tunutu mazao yao, Na nzige matunda ya kazi yao.
Alituma nzige, wakala mavuno yao, na kuharibu mashamba yao.
Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao, mazao yao kwa nzige.
Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.