Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Aliwapelekea mainzi wakawala, Na vyura wakawaharibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwapelekea makundi ya nzi waliowasumbua, na vyura waliowatia hasara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwapelekea makundi ya nzi waliowasumbua, na vyura waliowatia hasara.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwapelekea makundi ya nzi waliowasumbua, na vyura waliowatia hasara.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliwapelekea makundi ya inzi wakawala, na vyura wakawaharibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala, na vyura wakawaharibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aliwapelekea mainzi wakawala, Na vyura wakawaharibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:45
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakafanya hivyo; Haruni akaunyosha mkono wake na fimbo yake, na kuyapiga mavumbi ya nchi, nayo yakawa chawa juu ya wanadamu na juu ya wanyama; mavumbi yote ya nchi yakawa ni chawa katika nchi yote ya Misri.


BWANA akamwambia Musa, Inuka asubuhi na mapema usimame mbele ya Farao; angalia! Atoka aende majini; kamwambie, BWANA asema, Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie mimi.


Na huyo wa pili akalimimina bakuli lake juu ya bahari, ikawa damu, kama damu ya maiti, na vitu vyote vyenye roho ya uhai katika bahari vikafa.