Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Alivyoziweka ishara zake katika Misri, Na miujiza yake katika uwanda wa Soani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

alipotenda maajabu nchini Misri, na miujiza kondeni Soani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

alipotenda maajabu nchini Misri, na miujiza kondeni Soani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

alipotenda maajabu nchini Misri, na miujiza kondeni Soani!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

siku aliyoonesha ishara zake za ajabu huko Misri, maajabu yake huko Soani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri, maajabu yake huko Soani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alivyoziweka ishara zake katika Misri, Na miujiza yake katika uwanda wa Soani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:43
10 Marejeleo ya Msalaba  

nawe ukaonesha ishara nyingi na mambo ya maajabu juu ya Farao, watumishi wake wote, na watu wote wa nchi yake; kwa maana ulijua ya kuwa waliwatenda kwa kutakabari; ukajipatia jina linalodumu hata leo.


Alituma ishara na maajabu kati yako, Ee Misri, Juu ya Farao na watumishi wake wote.


Mbele ya baba zao alifanya mambo ya ajabu, Katika nchi ya Misri, konde la Soani.


BWANA akamwambia Musa, Hapo utakaporudi Misri, angalia ukazifanye mbele ya Farao zile ajabu zote nilizozitia mkononi mwako; lakini nitaufanya mgumu moyo wake, naye hatawapa ruhusa hao watu waende zao.


Nami nitaufanya mgumu moyo wa Farao, nami nitazifanya kuwa nyingi ishara zangu na ajabu zangu katika nchi ya Misri.


Na lile taifa watakaowafanya watumwa nitawahukumu mimi, alisema Mungu; na baada ya hayo watatoka, nao wataniabudu mahali hapa.


Au Mungu amekwenda wakati gani akajitwalia taifa kutoka kati ya taifa lingine, kwa majaribu, ishara, maajabu, vita, mkono hodari, mkono ulionyoshwa, na vitisho vikuu, kama vile BWANA, Mungu wenu, alivyowatendea ninyi katika Misri, mbele ya macho yenu?


BWANA akaonesha ishara na maajabu makubwa na mazito, juu ya Misri, Farao, na nyumba yake yote, mbele ya macho yetu;