Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hawakuukumbuka mkono wake, Wala siku ile alipowakomboa na mtesi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawakuikumbuka nguvu yake, wala siku ile alipowaokoa na maadui zao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawakuikumbuka nguvu yake, wala siku ile alipowaokoa na maadui zao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawakuikumbuka nguvu yake, wala siku ile alipowaokoa na maadui zao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hawakukumbuka uwezo wake, siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hawakukumbuka uwezo wake, siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hawakuukumbuka mkono wake, Wala siku ile alipowakomboa na mtesi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:42
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamsahau Mungu, mwokozi wao, Aliyetenda makuu katika Misri.


Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.


Nayo itakuwa ishara kwako katika mkono wako, na kwa ukumbusho kati ya macho yako, ili kwamba sheria ya BWANA ipate kuwa kinywani mwako; kwani BWANA alikuondoa utoke Misri kwa mkono wenye uwezo.


Neno hili silo tulilokuambia huko Misri, tukisema, Tuache tuwatumikie Wamisri? Maana ni afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani.


Na itakuwa katika siku hiyo, Bwana atapeleka mkono wake mara ya pili, ili ajipatie watu wake watakaosalia, kutoka Ashuru, na kutoka Misri, na kutoka Pathrosi, na kutoka Kushi, na kutoka Elamu, na kutoka Shinari, na kutoka Hamathi, na kutoka visiwa vya bahari.


ukawatoa watu wako, Israeli, katika nchi ya Misri, kwa ishara, na kwa ajabu, na kwa mkono hodari, na kwa mkono ulionyoshwa, na kwa utisho mkuu;


Kwani wana wa Israeli hawakumkumbuka BWANA, Mungu wao, ambaye ndiye aliyewaokoa na mikono ya adui zao wote pande zote;