Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:41 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamjaribu Mungu tena na tena; Na kumkasirisha Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walimjaribu Mungu tena na tena, wakamkasirisha huyo Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walimjaribu Mungu tena na tena, wakamkasirisha huyo Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walimjaribu Mungu tena na tena, wakamkasirisha huyo Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walimjaribu Mungu mara kwa mara, wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walimjaribu Mungu mara kwa mara, wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamjaribu Mungu tena na tena; Na kumkasirisha Mtakatifu wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:41
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani uliyemshutumu na kumtukana? Umeinua sauti yako juu ya nani, na kuinua macho yako juu? Juu ya Mtakatifu wa Israeli.


Maana ngao yetu ni BWANA, Na mfalme wetu ni wake Mtakatifu wa Israeli.


Ole wake, taifa lenye dhambi, watu wanaochukua mzigo wa uovu, wazao wa watenda mabaya, watoto wanaoharibu; wamemwacha BWANA, wamemdharau yeye aliye Mtakatifu wa Israeli, wamefarakana naye na kurudi nyuma.


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


Wakaambiana, Na tumweke mtu mmoja awe kiongozi, tukarudi Misri.


Mtu huyo baba zetu hawakutaka kumtii, bali wakamsukumia mbali, na kwa mioyo yao wakarejea Misri,


Msimjaribu BWANA, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.