Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:40 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walimwasi jangwani mara ngapi? Na kumhuzunisha nyikani!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mara ngapi walimwasi kule jangwani, na kumchukiza hukohuko nyikani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mara ngapi walimwasi kule jangwani, na kumchukiza hukohuko nyikani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mara ngapi walimwasi kule jangwani, na kumchukiza hukohuko nyikani!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mara ngapi walimwasi jangwani na kumhuzunisha nyikani!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mara ngapi walimwasi jangwani na kumhuzunisha nyikani!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walimwasi jangwani mara ngapi? Na kumhuzunisha nyikani!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:40
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye Juu.


Lakini wakazidi kumtenda dhambi, Walipomwasi Aliye Juu katika jangwa.


Naam, wasiwe kama baba zao, Kizazi cha ukaidi na uasi. Kizazi kisichojitengeneza moyo, Wala roho yake haikuwa amini kwa Mungu.


Lakini wakaasi, wakamhuzunisha Roho yake Mtakatifu; kwa hiyo akawageukia, akawa adui, akapigana nao.


Naye akasema, Sikilizeni sasa, enyi nyumba ya Daudi; Je! Ni neno dogo kwenu kuwachosha wanadamu, hata mkataka kumchosha Mungu wangu pia?


BWANA akamwuliza Musa, Je! Watu hawa watanidharau hadi lini? Wasiniamini hadi lini? Nijapokuwa nimefanya ishara hizo zote kati yao.


Wala msimhuzunishe yule Roho Mtakatifu wa Mungu; ambaye kwa yeye mlitiwa mhuri hata siku ya ukombozi.


Kumbuka, usisahau ulivyomtia BWANA, Mungu wako, kasirani jangwani; tangu siku uliyotoka nchi ya Misri hadi mlipofika mahali hapa, mmekuwa na uasi juu ya BWANA