Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akakumbuka ya kuwa wao ni kiwiliwili, Upepo upitao wala haurudi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alikumbuka kwamba wao ni watu tu; ni kama upepo upitao na kutoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alikumbuka kwamba wao ni watu tu; ni kama upepo upitao na kutoweka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alikumbuka kwamba wao ni watu tu; ni kama upepo upitao na kutoweka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu, upepo upitao ambao haurudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu, upepo upitao ambao haurudi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akakumbuka ya kuwa wao ni kiwiliwili, Upepo upitao wala haurudi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni mwili; basi siku zake zitakuwa miaka mia moja na ishirini.


Kumbuka, nakusihi ulivyonifinyanga kama vile udongo; Nawe, je! Utanirudisha uvumbini tena?


Ninadhoofika; sitaishi sikuzote; Usinisumbue, kwani siku zangu ni uvuvio.


Kumbuka ya kwamba maisha yangu ni upepo; Jicho langu halitaona mema tena.


Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.


lakini hamjui yatakayokuwako kesho. Uzima wenu ni nini? Maana ninyi ni mvuke uonekanao kwa muda mfupi tu, kisha hutoweka.