Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi, Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi, Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.


Kwa kuwa hawakumwamini Mungu, Wala hawakuutumainia wokovu wake.


Lakini nyumba ya Israeli waliniasi jangwani; hawakuenda katika amri zangu, wakazikataa hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda; na sabato zangu walizitia unajisi sana; ndipo nikasema, Nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani, ili niwaangamize.


Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;