Wakala wakashiba sana; Maana aliwaletea walivyovitamani;
Watu walikula wakashiba; Mungu aliwapa walichotaka.
Walikula na kusaza, kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
Akawapa walichomwomba, Lakini akawatumia ugonjwa wa kuwakondesha.