Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Aliuelekeza upepo wa mashariki kuvuma toka mbinguni; Na kwa uweza wake akauongoza upepo wa kusini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alivumisha upepo wa mashariki, kwa nguvu yake akachochea pepo za kusini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alivumisha upepo wa mashariki, kwa nguvu yake akachochea pepo za kusini;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alivumisha upepo wa mashariki, kwa nguvu yake akachochea pepo za kusini;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliachia upepo wa mashariki kutoka mbingu na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aliuelekeza upepo wa mashariki kuvuma toka mbinguni; Na kwa uweza wake akauongoza upepo wa kusini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiye apandishaye mvuke toka miisho ya nchi; Huifanyia mvua umeme; Hutoa upepo katika ghala zake.


Hulituma neno lake na kuviyeyusha, Huuvumisha upepo wake, maji yakatiririka.


Basi Musa akainyosha fimbo yake juu ya nchi ya Misri, na BWANA akaleta upepo kutoka mashariki juu ya nchi, mchana kutwa, na usiku kucha; kulipopambazuka ule upepo wa mashariki ukawaleta nzige.


Kisha upepo ukavuma kutoka kwa BWANA, nao ukaleta kware kutoka pande za baharini, nao ukawaacha wakaanguka karibu na kambi, kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande huu, na kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande ule, kuizunguka, nao wakafikia kiasi cha dhiraa mbili juu ya uso wa nchi.


Kisha hapo hiyo nyama ilipokuwa ikali kati ya meno yao, hawajaitafuna bado, hasira za BWANA ziliwaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa pigo kuu mno.