Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanadamu akala chakula walacho malaika; Akawapelekea chakula cha kuwashibisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Binadamu, wakala chakula cha malaika; naye aliwapelekea chakula cha kutosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Binadamu, wakala chakula cha malaika; naye aliwapelekea chakula cha kutosha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Binadamu, wakala chakula cha malaika; naye aliwapelekea chakula cha kutosha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu walikula mkate wa malaika, akawatumia chakula chote ambacho wangeweza kula.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu walikula mkate wa malaika, akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanadamu akala chakula walacho malaika; Akawapelekea chakula cha kuwashibisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mhimidini BWANA, enyi malaika zake, Ninyi mlio hodari, mtendao neno lake, Mkiisikiliza sauti ya neno lake.


Walimwomba naye akaleta kware, Na kuwashibisha chakula cha mbinguni.


Musa akasema, Ndilo litakalokuwa, hapo BWANA atakapowapa nyama wakati wa jioni mle, na asubuhi mikate hata mkakinai; kwa kuwa BWANA asikia manung'uniko yenu mliyomnung'unikia yeye; na sisi tu nani? Manung'uniko yenu hayakuwa juu yetu sisi, ila juu ya BWANA.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate makanda saba, yamejaa.