Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawanyeshea mana ili wale; Akawapa nafaka ya mbinguni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

akawanyeshea mana wale, akawapa nafaka kutoka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

akawanyeshea mana wale, akawapa nafaka kutoka mbinguni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

akawanyeshea mana wale, akawapa nafaka kutoka mbinguni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akawanyeshea mana ili watu wale; aliwapa nafaka ya mbinguni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akawanyeshea mana ili watu wale; aliwapa nafaka ya mbinguni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawanyeshea mana ili wale; Akawapa nafaka ya mbinguni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:24
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ukawapa chakula toka mbinguni, kwa ajili ya njaa yao, na kwa ajili yao ukaleta maji kutoka mwambani, kwa sababu ya kiu yao, ukawaamuru waingie na kuimiliki, nchi ambayo umeinua mkono wako kuwapa.


Ukawapa na roho yako mwema ili kuwaelimisha, wala hukuwanyima mana vinywani mwao, tena ukawapa maji kwa ajili ya kiu yao.


Walimwomba naye akaleta kware, Na kuwashibisha chakula cha mbinguni.


Ee Mungu, ulinyesha mvua ya neema; Urithi wako ulipochoka uliutia nguvu.


Na ulipokauka ule umande uliokuwa juu ya nchi, kumbe! Juu ya uso wa bara kitu kidogo kilichoviringana, kidogo kama barafu juu ya nchi.


Ndipo BWANA akamwambia Musa, Tazama, mimi nitawanyeshea ninyi mvua ya mkate kutoka mbinguni; na hao watu watatoka nje na kuokota kila siku sehemu ya siku; ili nipate kuwajaribu, kwamba watakwenda katika sheria yangu, ama sivyo.


wote wakala chakula kile kile cha roho;


Nami miaka arubaini nimewaongoza jangwani; nguo zenu hazikuchakaa juu yenu, wala kiatu chako hakikuchakaa katika mguu wako.


Akakunyenyekeza, akakuacha uone njaa, akakulisha kwa mana, usiyoijua wewe wala baba zako hawakuijua; apate kukujulisha ya kuwa mwanadamu haishi kwa mkate tu, bali huishi kwa kila litokalo katika kinywa cha BWANA.