Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini aliyaamuru mawingu juu; Akaifungua milango ya mbinguni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini aliyaamuru mawingu juu; Akaifungua milango ya mbinguni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


na yule kiongozi akamjibu mtu wa Mungu, akasema, Sasa tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akasema, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.


Basi yule afisa, ambaye mfalme alikuwa akitegemea mkono wake, akamjibu yule mtu wa Mungu, akasema, Tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akamwambia, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.