Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kuwa hawakumwamini Mungu, Wala hawakuutumainia wokovu wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa sababu hawakuwa na imani naye, wala hawakuamini nguvu yake ya kuokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa sababu hawakuwa na imani naye, wala hawakuamini nguvu yake ya kuokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa sababu hawakuwa na imani naye, wala hawakuamini nguvu yake ya kuokoa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa hawakumwamini Mungu, wala kuutumainia ukombozi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa hawakumwamini Mungu, wala kuutumainia ukombozi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa hawakumwamini Mungu, Wala hawakuutumainia wokovu wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini hawakutaka kusikia, bali walifanya shingo zao kuwa ngumu, kama shingo za baba zao, wasiomwamini BWANA, Mungu wao.


Wakaidharau nchi ile ya kupendeza, Wala hawakuliamini neno lake.


tena kichwa cha Efraimu ni Samaria, na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia. Ikiwa hamtasimama imara katika imani, hamtathibitika kamwe.


Hakuitii sauti; hakukubali kurudiwa; hakumwamini BWANA; hakumkaribia Mungu wake.


Lakini katika jambo hili hamkumwamini BWANA, Mungu wenu,


Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Yeye amwaminiye Mwana wa Mungu anao huo ushuhuda ndani yake. Asiyemwamini Mungu amemfanya kuwa mwongo, kwa kuwa hakuuamini huo ushuhuda ambao Mungu amemshuhudia Mwanawe.


Tena napenda kuwakumbusha, ijapokuwa mmekwisha kujua haya yote, ya kwamba Bwana, akiisha kuwaokoa watu katika nchi ya Misri, aliwaangamiza baadaye wale wasioamini.