Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akapasua miamba jangwani; Akawanywesha maji mengi kama maji ya vilindi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliipasua miamba kule jangwani, akawanywesha maji kutoka vilindini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliipasua miamba kule jangwani, akawanywesha maji kutoka vilindini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliipasua miamba kule jangwani, akawanywesha maji kutoka vilindini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipasua miamba jangwani na akawapa maji tele kama bahari,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipasua miamba jangwani na akawapa maji tele kama bahari,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapasua miamba jangwani; Akawanywesha maji mengi kama maji ya vilindi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:15
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akaufunua mwamba, kukabubujika maji, Yakapita jangwani kama mto.


Augeuzaye mwamba kuwa ziwa la maji, Jiwe gumu kuwa chemchemi.


Tazama, nitasimama mbele yako huko, juu ya lile jabali katika Horebu; nawe utalipiga jabali, na maji yatatoka, watu wapate kunywa. Musa akafanya hivyo mbele ya wazee wa Israeli.


Nitafunua vijito vya maji juu ya vilima, na chemchemi katikati ya mabonde; nitageuza jangwa kuwa ziwa la maji, na mahali pakavu kuwa vijito vya maji.


Wanyama pori wataniheshimu, mbweha pia na mbuni; kwa sababu nimewapa maji jangwani, na mito nyikani, ili kuwanywesha watu wangu, wateule wangu;


Wala hawakuona kiu alipowaongoza jangwani; Alitoa maji katika mwamba kwa ajili yao; Pia akaupasua mwamba, maji yakatoka kwa nguvu.


Musa akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi, mkutano wakanywa na wanyama wao pia.


wote wakanywa kinywaji kile kile cha roho; kwa maana waliunywea mwamba wa roho uliowafuata; na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.


Kisha akanionesha mto wa maji ya uzima, wenye kung'aa kama bilauri, ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-kondoo,


Roho na Bibi arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.