Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.
Walisahau mambo aliyokuwa ametenda, miujiza aliyokuwa amewaonesha.
Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonesha.
Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonyesha.
Lakini punde wakayasahau matendo yake, Wakakosa kungojea ushauri wake.
Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.
Je! Mwanamwali aweza kusahau mapambo yake, au bibi arusi mavazi yake? Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.
Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.