Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 78:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walisahau mambo aliyokuwa ametenda, miujiza aliyokuwa amewaonesha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walisahau mambo aliyokuwa ametenda, miujiza aliyokuwa amewaonesha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walisahau mambo aliyokuwa ametenda, miujiza aliyokuwa amewaonesha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonesha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walisahau aliyokuwa ameyatenda, maajabu aliyokuwa amewaonyesha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 78:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini punde wakayasahau matendo yake, Wakakosa kungojea ushauri wake.


Wamwekee Mungu tumaini lao. Wala wasiyasahau matendo ya Mungu, Bali wazishike amri zake.


Je! Mwanamwali aweza kusahau mapambo yake, au bibi arusi mavazi yake? Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa muda wa siku zisizo na hesabu.


Humkumbuki Mwamba aliyekuzaa, Mungu aliyekuzaa umemsahau.