Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 77:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia fadhili zake?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 77:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, kumbuka rehema zako na fadhili zako, Maana zimekuwako tokea zamani.


Nawe, BWANA, usinizuilie rehema zako, Fadhili zako na kweli yako na zinihifadhi daima.


Ee Mungu, unirehemu, kulingana na fadhili zako. Kiasi cha wingi wa rehema zako, Uyafute makosa yangu.


Mbona unasema, Ee Yakobo, mbona unanena, Ee Israeli, Njia yangu imefichwa, BWANA asiione, na hukumu yangu imempita Mungu wangu asiiangalie?


Tazama toka mbinguni, ukaone toka makao ya utukufu wako na fahari yako; uko wapi wivu wako, na uweza wako? Shauku ya moyo wako, na huruma zako zimezuiliwa kwangu.


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Maana Mungu amewafunga wote pamoja katika kuasi ili awarehemu wote.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?