Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 77:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Je, Bwana ametuacha kabisa? Je, hatatuonesha tena hisani yake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Je, Bwana ametuacha kabisa? Je, hatatuonesha tena hisani yake?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Je, Bwana ametuacha kabisa? Je, hatatuonesha tena hisani yake?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Je, Bwana atakataa milele? Je, hatatenda mema tena?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 77:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ajapojikwaa hataanguka chini, Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.


Toeni dhabihu za haki, Na kumtumaini BWANA.


Lakini umetutupa, umetufedhehesha, Wala huendi na majeshi yetu.


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


BWANA, umeiridhia nchi yako, Umewarejesha mateka wa Yakobo.


Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?


Lakini wewe umemtupa na kumkataa, Umemghadhibikia masihi wako.


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?