Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 77:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike; Nilitaabika nisiweze kunena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanizuia hata kupata lepe la usingizi, nina mahangaiko hata kusema siwezi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanizuia hata kupata lepe la usingizi, nina mahangaiko hata kusema siwezi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanizuia hata kupata lepe la usingizi, nina mahangaiko hata kusema siwezi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulizuia macho yangu kufumba; nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulizuia macho yangu kufumba; nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulizishika kope za macho yangu zisifumbike; Nilitaabika nisiweze kunena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 77:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Usiku ule mfalme hakupata usingizi; akaamuru aletewe kitabu cha kumbukumbu nacho kikasomwa mbele ya mfalme.


Kisha wakaketi ardhini pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lolote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.


Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa bahari; Kwa hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.