Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 77:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimpazie Mungu sauti yangu, Naam, nimpazie Mungu, naye atanisikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Namlilia Mungu kwa sauti, kwa sauti namlilia Mungu anisikie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Namlilia Mungu kwa sauti, kwa sauti namlilia Mungu anisikie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Namlilia Mungu kwa sauti, kwa sauti namlilia Mungu anisikie.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nilimlilia Mungu ili anisaidie, nilimlilia Mungu ili anisikie.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nilimlilia Mungu ili anisaidie, nilimlilia Mungu ili anisikie.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimpazie Mungu sauti yangu, Naam, nimpazie Mungu, naye atanisikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 77:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wa Yeduthuni; wana wa Yeduthuni; Gedalia, na Seri, na Yeshaya, na Hashabia, na Matithia, [na Shimei], watu sita; walioamriwa na baba yao Yeduthuni mwenye kinubi, aliyetabiri katika kumshukuru na kumsifu BWANA.


Hao wote waliamriwa na baba yao, waimbe nyumbani mwa BWANA, wakiwa na matoazi, vinanda, na vinubi, kwa utumishi wa nyumba ya Mungu; Asafu, Yeduthuni, na Hemani wakiwa wanaamriwa na mfalme.


Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


Nilisema, Nitazitunza njia zangu Nisije nikakosa kwa ulimi wangu; Nitajitia lijamu kinywani, Maadamu mtu mbaya awapo mbele yangu.


Mungu, Mungu BWANA, amenena, ameiita nchi, Toka maawio ya jua hadi machweo yake.


Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa utulivu, Wokovu wangu hutoka kwake.