Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 76:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe, ee Mungu, watukuka mno; umejaa fahari kuliko milima ya milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe, ee Mungu, watukuka mno; umejaa fahari kuliko milima ya milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe, ee Mungu, watukuka mno; umejaa fahari kuliko milima ya milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wewe unang’aa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wewe unang’aa kwa mwanga, mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 76:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Upanga wao utaingia mioyoni mwao wenyewe, Na nyuta zao zitavunjika.


Simba ametoka katika kichaka chake, ndiye aangamizaye mataifa; ameanza kushika njia, ametoka katika mahali pake; ili aifanye nchi yako kuwa ukiwa, miji yako ifanywe maganjo, asibaki mwenyeji ndani yake.


Naye akaenda huku na huko kati ya simba, akawa mwanasimba, akajifunza kuwinda mawindo, akala watu.


nami nitaupiga upinde wako, utoke katika mkono wako wa kushoto, na mishale yako nitaiangusha, itoke katika mkono wako wa kulia.