Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 76:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, upanga, na zana za vita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huko alivunja mishale ya adui; alivunja ngao, panga na silaha za vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huko alivunja mishale ya adui; alivunja ngao, panga na silaha za vita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huko alivunja mishale ya adui; alivunja ngao, panga na silaha za vita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huko alivunja mishale iliyowaka, ngao na panga, silaha za vita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huko alivunja mishale imetametayo, ngao na panga, silaha za vita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, upanga, na zana za vita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 76:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.


Nao Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara zao, wakakuta miongoni mwao mifugo wengi sana, mali, mavazi na vitu vya thamani, walivyojinyakulia, zaidi kuliko wawezavyo kuchukua; wakawa siku tatu katika kuteka nyara, maana zilikuwa nyingi sana.


Naye BWANA akatuma malaika aliyewakatia mbali wapiganaji vita wote, na majemadari, na makamanda, kambini mwa mfalme wa Ashuru. Basi akarudia nchi yake kwa aibu. Naye alipoingia nyumbani mwa mungu wake, baadhi ya wanawe mwenyewe wakamwangamiza humo kwa upanga.


Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.


Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.