Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 75:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali mimi nitatangaza matendo yako milele, Nitamwimbia Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi nitafurahi milele, nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi nitafurahi milele, nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi nitafurahi milele, nitamwimbia sifa Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali mimi nitatangaza matendo yako milele, Nitamwimbia Mungu wa Yakobo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 75:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yake mwenyewe na yaone uharibifu wake, Akanywe ghadhabu zake Mwenyezi.


Nitamwimbia BWANA maadamu ninaishi; Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;


Sikusitiri haki yako moyoni mwangu; Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako. Sikuficha fadhili zako wala kweli yako Katika kusanyiko kubwa.


Ili wapenzi wako waopolewe, Utuokoe kwa mkono wako wa kulia, utuitikie.


Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.


Maana BWANA, Mungu wa Israeli, aniambia hivi, Pokea kikombe cha divai ya ghadhabu hii mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote, ambao nitakupeleka kwao;


Naam, utakinywea hata hakitabaki kitu ndani yake, utavitafuna vigae vyake, utayararua maziwa yako; maana mimi, Bwana MUNGU, nimenena neno hili.