Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 75:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nawaambia wenye kiburi: ‘Acheni kujigamba’; na waovu: ‘Msioteshe pembe za kiburi!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nawaambia wenye kiburi: ‘Acheni kujigamba’; na waovu: ‘Msioteshe pembe za kiburi!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nawaambia wenye kiburi: ‘Acheni kujigamba’; na waovu: ‘Msioteshe pembe za kiburi!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Niliwaambia waliojivuna, Msijivune; Na wasio haki, Msiiinue pembe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 75:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naye amewainulia watu wake pembe, Sifa za watauwa wake wote; Wana wa Israeli, watu walio karibu naye. Haleluya.


Bali wenye haki hufurahi, Na kuushangilia uso wa Mungu, Naam, hupiga kelele kwa furaha.


Maana fahari ya nguvu zao ni Wewe, Na kwa radhi yako pembe yetu itatukuka.


Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?


Milima iliyeyuka kama nta mbele za BWANA, Mbele za Bwana wa dunia yote.


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Ndipo nikauliza, Hawa wanakuja kufanya nini? Akasema, Hizi ndizo pembe zilizowatawanya watu wa Yuda, hata ikawa hakuna mtu aliyeinua kichwa chake; lakini hawa wamekuja kuzifukuza, kuziangusha pembe za mataifa, walioinua pembe yao juu ya nchi ya Yuda, ili kuwatawanya watu wake.


Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Humpandisha mhitaji kutoka jaani, Ili awaketishe pamoja na wakuu, Wakakirithi kiti cha enzi cha utukufu; Kwa maana nguzo za dunia zina BWANA, Naye ameuweka ulimwengu juu yake.