Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wameweka kinywa chao mbinguni, Na ulimi wao hutangatanga duniani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa vinywa vyao hutukana mbingu; kwa ndimi zao hujitapa duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa vinywa vyao hutukana mbingu; kwa ndimi zao hujitapa duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa vinywa vyao hutukana mbingu; kwa ndimi zao hujitapa duniani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu, nazo ndimi zao humiliki duniani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu, nazo ndimi zao humiliki duniani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wameweka kinywa chao mbinguni, Na ulimi wao hutangatanga duniani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:9
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa asiwadanganye Hezekia, wala asiwashawishi kwa hayo, wala msimwamini; kwa kuwa hapana mungu wa taifa lolote, wala wa ufalme wowote, aliyeweza kuwaokoa watu wake na mkono wangu, au na mkono wa baba zangu; sembuse Mungu wenu atawaokoaje ninyi na mkono wangu?


Walakini walimwambia Mungu. Tuondokee; Kwani hatutaki kuzijua njia zako.


Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila.


Farao akasema, BWANA ni nani, hata niisikilize sauti yake, na kuwapa Israeli ruhusa waende zao? Mimi simjui BWANA, wala sitawapa Israeli ruhusa waende zao.


Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zumari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuri liwakalo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi mikononi mwangu?


Naye atanena maneno kinyume chake Aliye Juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye Juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa nyakati tatu na nusu


Naye kwa muda alikataa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu,


Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfululizo wa maumbile, nao huwashwa moto na Jehanamu.


Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskani yake, nao wakaao mbinguni.