Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hivyo kiburi kimekuwa mkufu shingoni mwao, Udhalimu huwavika kama nguo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kiburi kimekuwa mkufu wao shingoni, uhasama ni kama nguo yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kiburi kimekuwa mkufu wao shingoni, uhasama ni kama nguo yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kiburi kimekuwa mkufu wao shingoni, uhasama ni kama nguo yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao, wamejivika jeuri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao, wamejivika jeuri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hivyo kiburi kimekuwa mkufu shingoni mwao, Udhalimu huwavika kama nguo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:6
25 Marejeleo ya Msalaba  

Farao akavua pete yake ya mhuri mkononi mwake, akaitia mkononi mwa Yusufu; akamvika mavazi ya kitani nzuri, na kumtia mkufu wa dhahabu shingoni mwake.


Baada ya hayo mfalme Ahasuero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, akamwinua, akamwekea kiti chake juu ya wakuu wote waliokuwapo pamoja naye.


Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake. Ikamwingilia moyoni kama maji, Na kama mafuta mifupani mwake.


Washitaki wangu watavikwa fedheha, Na wavikwe aibu yao kama joho.


Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako, Na mikufu shingoni mwako.


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.


Kwa sababu hukumu juu ya tendo baya haitekelezwi upesi, mioyo ya wanadamu huthibitishwa ndani yao ili kutenda mabaya.


Umenishangaza moyo, dada yangu, Bibi arusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.


na pete za masikio, na vikuku, na mataji yao;


Moabu amestarehe tangu ujana wake, naye ametulia juu ya sira zake, wala hakumiminwa kutoka chombo kimoja kutiwa chombo kingine, wala hakwenda kufungwa; kwa hiyo ladha yake anakaa nayo, wala harufu yake haikubadilika.


Tumesikia habari za kiburi cha Moabu; Ya kuwa ana kiburi kingi; Ujeuri wake, na kiburi chake, na majivuno yake, Na jinsi alivyojitukuza moyoni mwake.


Nikakupamba kwa mapambo pia, nikatia vikuku mikononi mwako, na mkufu shingoni mwako.


Mfalme akanena, akasema, Mji huu sio Babeli mkubwa nilioujenga mimi, uwe makao yangu ya kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu, ili uwe utukufu wa enzi yangu?


BWANA asema hivi kuhusu manabii wanaowakosesha watu wangu; hao waumao kwa meno yao, na kulia, Amani; na mtu awaye yote asiyetia kitu vinywani mwao, wao humwandalia vita.


Lakini Yeshuruni alinenepa, akapiga teke; Umenenepa, umekuwa mnene, umewanda; Ndipo akamwacha Mungu aliyemfanya, Akamdharau Mwamba wa wokovu wake.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.


Na uzani wa hizo herini za dhahabu alizozitaka ulipata shekeli za dhahabu elfu moja na mia saba; mbali na makoja na vidani, na mavazi ya rangi ya zambarau waliyokuwa wameyavaa hao wafalme wa Midiani, tena mbali na mikufu iliyokuwa katika shingo za ngamia wao.