Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana niliwaonea wivu wenye kiburi, nilipoona wakosefu wakifanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana niliwaonea wivu wenye kiburi, nilipoona wakosefu wakifanikiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana niliwaonea wivu wenye kiburi, nilipoona wakosefu wakifanikiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Hema za wanyang'anyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.


Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.


Mbona waovu wanaishi, Na kuwa wazee, naam, na kuongezeka kuwa na nguvu?


Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Njia zake ni thabiti kila wakati. Hukumu zako ziko juu asizione, Adui zake wote awakaripia.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Usiwawaonee wivu watu waovu, Wala usitamani kuwa pamoja nao;


Usimhusudu mtu mwenye ujeuri, Wala usiichague mojawapo ya njia zake.


Mambo hayo yote nimeyaona mimi katika siku za ubatili wangu, yuko mwenye haki apoteaye katika haki yake, yuko na mtu mwovu azidishaye maisha yake katika udhalimu wake.


Wewe u mwenye haki, Ee BWANA, nitetapo nawe, lakini nitasema nawe katika habari ya haki. Mbona njia ya wabaya inasitawi? Mbona wote watendao hila wanakaa salama?


Na sasa twasema ya kwamba wenye kiburi ndio walio heri; naam, watendao uovu ndio wajengwao; naam, wamjaribuo Mungu ndio waponywao.


Au mwadhani ya kwamba Maandiko yasema bure? Huyo Roho akaaye ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?